1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana. 08.02.2020

8 Februari 2020

China yafungua hospitali ya muda mjini Wuhan kusaidia kukabiliana na virusi vya Corona, Uturuki yatishia kuchukua hatua iwapo kituo chake chochote cha kijeshi katika jimbo la Idlib kitashmabuliwa na Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza Dominic Raab, asema anatarajia kuwa mazungumzo ya kibiashara na Japan yataanza kabla ya msimu wa machipuko.

https://p.dw.com/p/3XSSm