1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 07.10.2018

Yusra Buwayhid
7 Oktoba 2018

Watu 11 wafariki katika tetemeko la ardhi huko Haiti. Waziri Mkuu wa Israel benjamin Netanyahu na Rais wa Urusi Vladimir Putin kukutana kujadili kuangushwa kwa ndege ya Urusi nchini Syria. Wakameroon wapiga kura leo huku upande unaotaka kujitenga ukitishia kufanya ghasia.

https://p.dw.com/p/367ch