1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 03.09.2017

Yusra Buwayhid
3 Septemba 2017

Korea Kaskazini yafanya jaribio la bomu la Haidrogen leo hii. Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na mpinzani wake mkuu Martin Schulz, watakutana leo kwa mdahalo pekee wa televisheni. Mkutano wa kilele wa mataifa yanayoinukia kiuchumi wa kundi la BRICS waanza leo China.

https://p.dw.com/p/2jHLJ