1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 03.02.2018

Sylvia Mwehozi
3 Machi 2018

Tuliyo nayo: Italia kufanya uchaguzi Jumapili chini ya sheria mpya ya uchaguzi inayofanya vigumu kutabiri matokeo. Mashambulizi ya angani yanayofanywa na serikali ya Syria katika eneo la Ghouta Mashariki yanaweza kuhesabiwa kuwa uhalifu wa kivita. Na Chama SPD, kimeanza zoezi la kuhesabu kura baada ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura miongoni mwa wanachama wake.

https://p.dw.com/p/2tdCq