1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 02.12.2018

Yusra Buwayhid
2 Desemba 2018

China na Marekani zakubali kusitisha mgogoro wa kibiashara kwa siku 90. Kansela wa jerumani Angela Merkel amtaka rais wa Urusi Vladimir Putin kuwaachilia huru mabaharia wa Ukraine. Na Ufaransa yatafakari kutangaza hali ya dharura kufuatia maandamano ya wiki mbili yanayoendeleanchini humo.

https://p.dw.com/p/39Hhp