1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaIsrael

Matangazo ya jioni ya DW Kiswahili: 3.11.2023

3 Desemba 2023

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema amefadhaishwa na kuvunjika kwa makubaliano ya kusitisha vita kwenye Ukanda wa Gaza, mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya ICC Karim Khan, ametoa wito kwa pande mbili zinazohusika katika vita kati ya Israel na Hamas kuzingatia sheria za kimataifa na Ukraine yasema vikosi vya Urusi vimewauwa wanajeshi wake walionesha nia ya kujisalimisha

https://p.dw.com/p/4Zj6d