Qatar inatumai kurefusha makubaliano ya usitishaji mapigano baina ya Israel na kundi la wanamgambo la Hamas, jeshi la Ukraine limeonya kuhusu hatari ya Urusi kujaribu tena kuliteka eneo la Kupyansk na wizara ya afya ya China imesema ongezeko la magonjwa ya kupumua nchini China linatokana na mafua na vimelea vingine vinavyojulikana