1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni ya DW Kiswahili: 10.6.2023

10 Juni 2023

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz asema anapanga kuzungumza na rais wa Urusi Vladimir Putin, Urusi yasema ''itajibu'' baada ya Iceland kuwa taifa la kwanza kusimamisha shughuli zake za ubalozi mjini Moscow na mamia ya wanaharakati, wanafunzi, na raia wa Hong Kong wanaoishi Taiwan wafanya maandamano

https://p.dw.com/p/4SQRt