1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 31.03.2024

31 Machi 2024

Papa Francis ahimiza amani ulimwenguni katika ujumbe wake wa Pasaka. Mapigano yaendelea kote Gaza huku mazungumzo ya kusitishwa vita yakifufuliwa. Na Waturuki wapiga kura katika uchaguzi wa mitaa wenye ushindani mkali.

https://p.dw.com/p/4eIW7