Iran yawaonya wananchi wake dhidi ya kufanya maandamano zaidi ya kuipinga serikali. Rais wa Urusi Vladimir Putin ataumaini ushirikiano na Marekani katika barua yake ya mwaka mpya kwa Rais Donald Trump. Uturuki yasema Umoja wa Ulaya haukutimiza fedha iliyoiahidi kuwasaidia wakimbizi wa Syria.