1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 29.10.2022

29 Oktoba 2022

Urusi yaishutumu Uingereza kwa kuhusika katika milipuko ya mabomba ya kusafirisha gesi ya Nord Stream. Mashambulizi ya mabomu katika wizara ya elimu nchini Somalia yasababisha maafa makubwa. India imesema itachangia dola laki tano kwa Umoja wa Mataifa ili kukabiliana na ugaidi duniani.

https://p.dw.com/p/4IpvH