1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 28.04.2019

SK2 / S02S28 Aprili 2019

Mafuriko yalikumba eneo la kaskazini mwa msumbiji na kuzusha wasiwasi kwa wakaazi laki saba wa eneo hilo. Jeshi nchini Sudan limelaani shambulio dhidi ya chama chenye mafungamnao na rais wa zamani Omr al-Bashir. Papa Francis ametoa wito wa kuhamishwa haraka wakimbizi nchini Libya

https://p.dw.com/p/3HaVT