1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni: 15.02.2025

17 Februari 2025

UN yatahadhirisha kuhusu vita vya kikanda katika mkutano wa Umoja wa Afrika++Rais wa Ukraine asema kamwe nchi yake haitokubali mpango wowote wa mazungumzo ya amani kati ya Urusi ambao hauihusishi nchi yake moja kwa moja++Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo.

https://p.dw.com/p/4qWfb