UN yatahadhirisha kuhusu vita vya kikanda katika mkutano wa Umoja wa Afrika++Rais wa Ukraine asema kamwe nchi yake haitokubali mpango wowote wa mazungumzo ya amani kati ya Urusi ambao hauihusishi nchi yake moja kwa moja++Mkuu wa jeshi la Uganda atishia kushambulia mji wa Bunia mashariki mwa Kongo.