1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 10.12.2023

10 Desemba 2023

WHO yasema vita vya Mashariki ya Kati vimeudhoofisha mfumo wa afya wa Gaza, Wamisri washiriki uchaguzi mkuu ambapo rais anayetetea kiti chake al Sissi anatarajiwa kushinda na viongozi wa Afrika Magharibi wakiri juhudi zao za kukomesha mapinduzi hazijafanikiwa.

https://p.dw.com/p/4Zzjy