1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 03.09.2017

Yusra Buwayhid
3 Septemba 2017

Rais wa Marekani Donald Trump kukutana na washauri wake wa usalama kuijadili Korea Kaskazini. Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na mpinzani wake mkuu Martin Schulz, watakutana leo kwa mdahalo pekee wa televisheni. Kiongozi wa upinzani Kenya, Raila Odinga, asema muungano wake wa upinzani hautokubali kugawana madaraka.

https://p.dw.com/p/2jHr6