Wizara ya ulinzi ya Urusi yatangaza kupeleka silaha zaidi kwa wanajeshi walioko uwanja wa vita Ukraine // Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, ameapa kupambana dhidi ya mashitaka yanayomkabili // Viongozi wa Sudan wameahirisha kutiwa saini kwa makubaliano kulikopangwa kufanyika leo Jumamosi.