1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya asubuhi ya Jumamosi 26.08.2023

TSA / S08S26 Agosti 2023

Miongoni mwa utakayoyasikia kwenye matangazo haya: Raia wa Gabon leo Agosti 26 wanapiga kura katika uchaguzi wa Rais, bunge na serikali za mitaa. Rais aliye madarakani, Ali Bongo anapewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huo unaoweza kumuweka madarakani kwa muhula wa tatu. Ameitawala nchi hiyo yenye utajiri wa mafuta tangu aliposhinda uchaguzi baada ya kifo cha baba yake Omar Bongo mwaka 2009.

https://p.dw.com/p/4VbM1