1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)

18 Julai 2023

Mkataba wa usafirishaji nafaka Bahari Nyeusi wafikia mwisho kufuatia Urusi kujiondoa//Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ataka Putin ajukumishwe kwa vita vya nchini Ukraine//Na Umoja wa Mataifa una hofu kufuatia kutopatikana mwafaka wa urekebishaji madeni kwa nchi maskini katika mazungumzo ya G20.

https://p.dw.com/p/4U1mz
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Deutsche Welle Logo
Picha: Marius Becker/dpa/picture alliancePicha: Marius Becker/dpa/picture alliance

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)