1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 22.02.2020

22 Februari 2020

Serikali ya umoja wa kitaifa inatarajiwa kuundwa leo Sudan Kusini // Mazishi ya msanii na mwanaharakati maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha yanafanyika leo // Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania kesho inatarajia kufunga rasmi kazi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani

https://p.dw.com/p/3YAuT