1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 21.01.2017

Yusra Buwayhid
21 Januari 2017

Donald Trump, ameapishwa rasmi kuwa rais wa 45 wa Marekani katika sherehe zilizofanyika jijini Washington. Mazungumzo yenye lengo la kuutatua mzozo wa Syria yanatarajiwa kuanza Jumatatu ijayo nchini Kazakhstan. Na, nchini Kenya Zoezi la kusajili wapiga kura liliyoanza mapema wiki hii limezua mhemko wa kisiasa.

https://p.dw.com/p/2WASG