Wajumbe wa Saudi Arabia na wawakilishi wa Wahouthi wamekamilisha duru ya kwanza ya mazungumzo ya kuleta amani nchini Yemen. +++Wazo la Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuhusu nchi za Umoja wa Ulaya kuwa huru katika kujiamulia juu ya kutekeleza mikakati yake pamoja na kauli kuhusu Taiwan zimezua taharuki nchini Marekani++