1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 10.10.2021

10 Oktoba 2021

Mamlaka ya Taliban jana, Jumamosi imeionya Marekani isiwavuruge, ukiwa ni mkutano wa kwanza wa ana kwa ana kufanyika tangu Marekani iondokea katika ardhi ya Afghanistan, huku kuongezeka kwa mauwaji ya kimadhehebu yakizusha maswali juu ya kushika kwao madaraka.

https://p.dw.com/p/41U6u