1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 02.02.2019

Caro Robi
2 Februari 2019

Shirika la kimataifa linaloshughulikia maslahi ya watu wenye ualbino la under the same sun limesema kuwa visa vya utekwaji, kujeruhi pamoja na mauaji ambayo yamekuwa yakishuhudiwa mara kwa mara nchini Tanzania yanapungua kutokana na elimu kuwafikia wanajamii.

https://p.dw.com/p/3CbRh