Rais Donalad Trump wa Marekani amekutana na kiongozi wa Korea Kaskazini katika eneo lisilo la kijeshi la mpaka wa Korea mbili na viongozi wa Umoja wa Ulaya wanatarajiwa kukutana baadae leo kwa lengo la kutoa majibu ya nani atakaechukua nafasi muhimu za juu za umoja huo.