1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maisha

Masharti yapunguzwa kwa wanaotafuta kazi Germany

zainab Aziz7 Juni 2024

Mnamo Juni Mosi Ujerumani ilianza kutumia rasmi sheria mpya ambayo inawaruhusu watu wenye ujuzi kutoka mataifa ambayo hayapo ndani ya Umoja wa Ulaya, kuingia nchini humo na kutafuta ajira. Sheria ambayo inatajwa kuwa itapunguza changamoto ya uhaba wa wafanyakazi katika kada mbalimbali kwenye taifa hilo la Ulaya.

https://p.dw.com/p/4gldt