1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Haki za binadamuJamhuri ya Kongo

Mashambulizi ya kushtukiza katika mji wa Sake, Kongo

31 Januari 2024

Mkururo wa mashambulizi ya makundi ya kujihami kwa silaha na vikosi vya serikali nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, umesababisha wakimbizi waliokimbilia mji wa Sake kama sehemu salama, kukimbia tena kutafuta pahala salama.

https://p.dw.com/p/4bsjJ