1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mashambulizi Burundi yasababisha vifo vya watu 17

Amida Issa28 Juni 2021

Watu 17 wameuwawa Burundi na wengine 13 kujeruhiwa katika mashambulizi ya kuvizia dhidi ya magari 2 ya abiria mkoani Gitega. Waliohusika hawajatambulika. Hata hivyo, inashukiwa kuwepo kwa kundi linalofanya mashambulizi kama hayo, hii ikiwa ni mara ya pili katika kipindi kisichozidi mwezi mmoja kwa watu kuuawa. Amida ISSA anaripoti kutoka Bujumbura.

https://p.dw.com/p/3vgTO