1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mashabiki wasubiri Bundesliga kwa hamu

30 Desemba 2022

Mashabiki wa soka Ujerumani wanasubiri kwa hamu na ghamu kuanza tena kwa ligi kuu ya Bundesliga Januari 20. Timu zinalazimika kusubiri kwa muda mrefu kabla kuanza kucheza tena baada ya michuano ya kombe la dunia. Mashabiki wana hamu kubwa kuwaona wachezaji wakirejea viwanjani. Sikiliza mahojiano ya Naomi William na Josephat Charo.

https://p.dw.com/p/4La18