1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marco Rose tumbo joto na safu yake ya ulinzi

Josephat Charo
2 Januari 2023

Ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani Bundesliga inatarajiwa kurejea viwanjani Ijumaa Janauri 20 kwa pambano kati ya RB Leipzig na mabingwa watetezi Bayern Munich. Grace Kabogo na Josephat Charo wazungumzia duru ya pili ya Bundesliga na mengineyo katika michezo.

https://p.dw.com/p/4LeRg