1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni ya Watanzania kufuatia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG

Daniel Gakuba11 Aprili 2023

Nchini Tanzania baada ya kutolewa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Charles Kichele kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikionyesha ubadhirifu, uzembe na matumizi mabaya ya madaraka, watu bado wanaizungumzia ripoti hiyo. Miongoni mwa hoja zinazotolewa ni kuwa juhudi za kuupiga vita ufisadi wakati wa utawala wa hayati rais John Pombe Magufuli ziliambulia patupu.

https://p.dw.com/p/4PuE1