1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni: Tathmini ya Michuano ya AFCON

Josephat Charo
27 Januari 2024

Duru ya mtoano ya timu 16 bora katika mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika AFCON inaendelea Ivory Coast. Katika kipindi cha Maoni mbele ya meza ya Duara Jacob Safari anafanya tathmini ya duru ya kwanza ya mechi za makundi na mustakbali wa soka la Afrika. Miongoni mwa washiriki ni Josephat Charo na Saumu Njama,

https://p.dw.com/p/4bkTD