1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni: Nafasi ya timu za Afrika Qatar 2022

26 Novemba 2022

Wenyeji wa kombe la dunia la kandanda Qatar wamepigwa kumbo na kutolewa nje ya mashindano hayo baada ya kuchapwa 3-1 na Simba wa Teranga, Senegal katika mechi iliyochezwa Ijumaa Novemba 25. Jiunge na Josephat Charo katika kipindi cha Maoni kuhusu fursa za nchi za Afrika katika mashindano hayo.

https://p.dw.com/p/4K7gW