Uchumi
Mamia waandamana kupinga Wachina Kampala
19 Aprili 2017Matangazo
Mgomo huo umeungwa mkono na viongozi wa mji wakiwemo meya Erias Lukwago na mbunge wa eneo hilo Muhamad Nsereko ambaye amekamatwa na kuzuiliwa kwa muda na polisi kwa madai ya kuwachochea wafanyabiashara waafrika.