1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mtu mmoja auwawa katika maandamano ya nchini Kenya

21 Juni 2024

Kenya yatikiswa na maandamano makubwa katika mji mkuu Nairobi na miji mingine ya kupinga muswaada wa fedha. Mahujaji 658 wa Misri ni miongoni mwa waumini waliopoteza maisha kufuatia joto kali huko Makkah. Wabunge nchini Kongo wakubali kupunguziwa mishahara yao ya dola elfu 21 hadi dola elfu 5 katika tukio la aina yake. Jiunge na Saumu Mwasimba katika Afrika wiki hii hapa DW kiswahili.

https://p.dw.com/p/4hN0v