1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika Wiki hii

31 Mei 2024

Chama tawala Afrika Kusini,African National Congress(ANC) huenda kikashindwa kuunda serikali peke yake baada ya matokeo ya awali kuonesha hakijaweza kupata asilimia 50 ya kura. DRC yapata serikali mpya baada ya miezi sita ya kurudi madarakani rais Tschisekedi. Nchini Kenya Mogokaa wazusha malumbano makubwa kati ya viongozi wa Kaunti huko Kenya.Na rais wa Senegal azitembelea Mali na BurkinaFaso.

https://p.dw.com/p/4gVvT