1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maisha magumu ya wanawake Saudi Arabia

Zainab Aziz Salim-Mtullya1 Februari 2017

Saudi Arabia ni nchi mojawapo yenye sheria kali zinazowakandamiza wanawake. Haki ambazo ni jambo la kawaida kwa wanawake katika nchi nyingine duniani kama vile kuendesha gari, kusafiri au hata kutoka nyumbani bila kusindikizwa na mwanamume bado ni ndoto kwa wanawake wa nchini Saudi Arabia.

https://p.dw.com/p/2WlpI