1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahojiano na mwanaharakati anayepigania ukeketaji

Sophia Nyevu Chinyezi6 Desemba 2018

Sophia Chinyezi amezungumza na Domtila Chesang ambaye ni mwanaharakati anayefanya kazi katika kundi linalojisaidia na kujisimamia lenyewe kwa jina 'Kepsteno Rotwo', lenye maana ‘Kuondokana na Kisu’ kwenye eneo la Pokot, Magharibi nchini Kenya. Kwanza anaelezea sababu za zoezi hilo kuendelea licha ya kuwepo kwa sheria inayoipinga.

https://p.dw.com/p/39Ypf