1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mafuriko yauwa watu karibu 50 Tanzania

4 Desemba 2023

Mafuriko ya maji yalioambatana na matope yalioukumba mji mdogo wa Hanang huko mkoani Manyara Kaskazini mwa Tanzania yamesababisha vifo vya karibu 50.

https://p.dw.com/p/4Zk3m