1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mafunda Faki, balozi wa vijana Zanzibar katika jumuiya ya Afrika Mashariki

1 Oktoba 2021

Licha ya utamaduni wa jamii inayomzunguka, Mafunda Faki ambaye ni msichana anayeiwakilisha Zanzibar katika Jumuiya ya Afrika Mashariki amepiga hatua na kuwa mfano kwa vijana wenzake. Ushauri na ushawishi wake kwa vijana wenzake ni upi? Je ana malengo yapi? Mwanahabari Chipukizi Hadija Halifa anamuangazia kwenye #MsichanaJasiri.

https://p.dw.com/p/41801