1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano ya upinzani kuendelea baada ya Ramadhan

Josephine Karema14 Aprili 2023

Kiongozi wa muungano wa upinzani wa Azimio la Umoja nchini Kenya Raila Odinga, amesema kuwa maandamano ya kuipinga serikali yataendelea tena baada ya mwezi mtukufu wa ramadhan sambamba na mazungumzo ya mapatano. Herman Manyora mchambuzi wa siasa anazungumzia hilo kutoka Nairobi

https://p.dw.com/p/4Q4Sg