1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maadhimisho ya siku ya walimu ulimwenguni

Thelma Mwadzaya5 Oktoba 2021

Ulimwengu unaadhimisha siku ya walimu ulimwenguni. Kauli mbiu ya mwaka huu inajikita kwenye juhudi za kuwaunga mkono na kuwapiga jeki walimu ili kufanikisha mchakato wa kurejea kwenye maisha ya kawaida kufuatia misukosuko ya COVID 19. Nchini Kenya walimu wanapitia kipindi tofauti hasa baada ya mtaala wa shule kufanyiwa mabadiliko makubwa.

https://p.dw.com/p/41HAq