1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ligi kuu Tanzania bara yatifua vumbi

Josephat Charo
15 Agosti 2022

Pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara msimu mpya wa 2022/2023 limefunguliwa kwa mechi kati ya Ihefu na Ruvu Shooting huku timu ya Namungo ikiwa na miadi na Mtibwa Sugar. Yanga bingwa wa Ngao ya Jamii. Gumzo linaendelea mtaani kufuatia Derby ya Kariakoo iliyopigwa mwishoni mwa juma kati ya Wekundu wa Msimbazi Simba na Yanga. Naomi William (pichani) anaripoti kutoka Dar es Salaam.

https://p.dw.com/p/4FXwq