1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwanini wanawake hawapewi haki sawa na wanaume?

12 Machi 2018

Asilimia 77 ya watu kusini mwa Jangwa la Sahara barani Afrika ni vijana chini ya miaka 35. Vijana Mubashara - 77 Asilimia ni jukwaa lao, kupitia DW. Katika Vijana Mubashara wiki hii kijana tunakuuliza ni kwanini katika ulimwengu wa sasa bado wanawake hawapewi haki sawa na wanaume?

https://p.dw.com/p/2u94p