1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwanini Waholanzi wanampenda Geert Wilders

Iddi Ismail Ssessanga1 Machi 2017

Uchaguzi mkuu wa Uholanzi unafanyika Machi 15 na siasa kali za kizalendo za mrengo wa kulia zinazidi kupata umaarufu. Jina moja linatawala kampeni za uchaguzi - Geert Wilders, kiongozi wa chama cha siasa kali za mrengo wa kulia, kinachoupinga Umoja wa Ulaya na Uislamu cha Freedom Party PVV.

https://p.dw.com/p/2YQWN