1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwanini Israel-Hamasi hawatatii wito wa kusitisha vita?

Bruce Alakonya9 Novemba 2023

Miito inatolewa ya kuzitaka pande zote za mzozo Gaza kusitisha vita lakini kila upande unashikilia msimamo wake. Israel inasema lazima mateka waachiwe, Hamas haitaki kuwaachia. Bruce Amani amezungumza na mchambuzi wa siasa za kimataifa Mohammed Abdulrahman makusudio ya mvutano huo.

https://p.dw.com/p/4YbLO