1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuzibua mishipa ya damu miguuni

7 Agosti 2023

Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, asilimia 20 ambayo ni sawa na watu milioni 230 ulimwenguni kote, hupata tatizo la kuziba kwa mishipa ya damu ya miguu. Je chanzo, dalili ni zipi? Na matibabu? Kurunzi Afya inaangazia tatizo hilo la kiafya.

https://p.dw.com/p/4Us9Z