1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kutana na Jamila Kizondo, mchekeshaji anayeutangaza utamaduni wa Mswahili Marekani

20 Julai 2022

Jamila Kizondo amejizolea umaarufu mitandaoni kwa kutumia kwake vichekesho kuutangaza utamaduni wa Mswahili nchini Marekani. Leo ndiye malkia wetu kwenye KURUNZI WANAWAKE, ambapo Fathiya Omar kutoka Mombasa amezungumza juu ya kazi zake.

https://p.dw.com/p/4F7dA