1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kupitishwa kwa mawaziri Kenya, kunamaanisha nini?

Hawa Bihoga26 Oktoba 2022

Hapa utamsikia mchambuzi Martin Oloo akizungumzia hatua ya bunge la kitaifa la Kenya kupitisha mawaziri wateule wa serikali ya rais William Ruto, tofauti na mitazamo ya awali ya kuwapinga baadhi ya wateule hao. Anasemaje? Sikiliza mahoajiano haya.

https://p.dw.com/p/4IieV