1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuna umuhimu kwa wanafunzi kwenda na simu mashuleni?

8 Agosti 2024

Ulaya nzima inajadili kupiga marufuku simu za mkononi mashuleni. Nchini Ujerumani, wito kama huu pia umekuwa ukiongezeka kwa kuwa hali ni mbaya sana kwa sasa kuliko hapo awali kulingana na utafiti wa kimataifa (PISA 2022).

https://p.dw.com/p/4jFyQ