1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaZimbabwe

Kuelekea uchaguzi mkuu nchini Zimbabwe

Hawa Bihoga
22 Agosti 2023

Zimbabwe itafanya uchaguzi mkuu Agosti 23. Wagombea kumi na wawili wanawania kiti cha urais, lakini mchuano mkubwa ni kati ya Emmerson Mnangagwa anaetetea kiti hicho na mgombea mkuu wa upinzani Nelson Chamisa.Wachambuzi wanasemaje?

https://p.dw.com/p/4VSGk